Breaking

Snoop Dogg ameachia rasmi album ya nyimbo za injili



Staa wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani Calvin Cordozar Broadus ambaye wengi wanamfahamu kwa jina maarufu kama Snoop Dogg alitangaza kuachana na muziki wa Hip Hop (kidunia) na kumrudia Mungu kwa kuanza kufanya nyimbo za dini.

March 16 Snoop Dogg ameachia rasmi album ya nyimbo za injili inayokwenda kwa jina la ‘Bible of Love’ mkongwe huyo katika muziki wa Hip Hop March 16 ameachia album yake hiyo ya gospel, baada ya kufanya muziki wa kidunia na kutoa jumla ya album 15 za Hip Hop, Snoop anafanya maamuzi hayo akiwa na umri wa miaka 46 sasa.

Hakuna maoni:

Inaendeshwa na Blogger.