Breaking

Hili zoezi la vitambulisho vya utaifa ni lalazima

Image result for nchemba
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dr. Mwigulu Nchemba akiwa kwenye ziara ya kikazi mkoani Ruvuma ameagiza kila mtanzania kujiandikisha kupata kitambulisho cha taifa kwakuwa sio jambo la hiari bali ni lazima kwa kila Mtanzania aliyeko ndani ya mipaka ya nchi kutambuliwa.

“Hili zoezi la vitambulisho vya utaifa ni lalazima kwa kila mtanzania aliye nchini, ni kosa kubwa kama wewe ni raia ukaamua kukaidi ikiwa Rais wetu Magufuli ameamua kutoa vitambulisho hivyo bure bila malipo yoyote”–Dr Nchemba

“Hili ni jambo la Nchi na ni kubwa hivyo tusililinganishe na jambo lingine lolote, baada ya mchakato huu kuisha tukamkuta mtu hana kitambulisho maelezo yake yatakuwa ni magumu kueleweka kama kweli yeye ni mtanzania halali” –Dr Nchemba

Hakuna maoni:

Inaendeshwa na Blogger.